Jumapili, 21 Julai 2013

THE PARAPANDA OUTREACH MINISTRY WAMETIKISA MBEYA VIJIJINI SIKU YA LEO WENGI WAME FUNGULIWA

Waimbaji wa nyimbo za injiri wamekuwa baraka sana kwa wakazi wa uyole ya kati,
TUMAIN MBEMBELA akiwa jukwaani akimsifu JEHOVA

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni