Jumatatu, 22 Julai 2013

MDA WACHAKULA WANA PARAPANDA OUTREACH MINISTRY HAWAKUWA NYUMA WALIUTUMIA VIZURI MUDA HUO..

Mh,,,kwakweli hii ilikuwa tofauti mana ulipofika wakati huuuu wengi walionekana wana furaha sana kwani watu walikula na kunywa,,hakika huduma hii niyapekee sanaa

       ,,,,,,,,,,,,,,,, hapa wana kwaya wa parapanda wakila chakula,,,,,,,,,,,

mlo wakiroho tayali sasa mlo wa kimwiliiii wana parapanda,,,,,,,,,,,,,,
Mkurugenzi wa THE PARAPANDA OUTREACH MINISTRY mwenye suti nyeusi akiwa na wana huduma wengine wakipata chakulaaaaaaa.,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
,,,,,,,,,Haa wakina dada nao hawa kuwa nyuma wakati wa mloo ,,,,,,,,,,,,,wana parapanda
huyu ni mpiga dramu wa kwaya parapanda naye hakuwa nyuma mda ulipo fika wakula,,,,,,,,
chakula kilikuwa kingi mno ila huyu kijana hakuwepo ,,,,,,,,,,,,,,,

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni