Ijumaa, 19 Julai 2013

MAMA MJANE AKIKABIDHIWA KITENGE KUTOKA KWA UONGOZI WA KWAYA YA PARAPANDA SIKU YA LEO HUYU MAMA NI MJANE ANAYE ISHI IDUDA

Hapa anakabidhiwa kietnge kuyoka kwa wana parapanda mungu mwema sana sku ya leo na sikuttegemea kupata msaada huu, ni maneno aliyo sema huyu mama si

Akizungumzia juu ya baraka hizi ansema ,yote na mwachia Mungu kwani amenipaneema ya bure ,pia mama huyu alii ishia kuwabariki wana parapanda.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni