Ijumaa, 19 Julai 2013

THE PARAPANDA OUTREACH MINISTRY WAKIWA KATIKA HUDUMA LEO UYOLE

hiiiii ni huduma ya watu wa mungu kwa jamii, sio mahubiri tu hapa nikazi nyingi kama jinsi Yesu alivyo agiza kuwajri yatima na wajane kwa kweli yesu ni mkuu sana katika huduma hii, hapa misaada ikitolewa na THE PARAPANDA OUTREACH MINISTRY.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni